New Swahili/English magazine Gaidi Mtaani (Terrorist in the Street) was first posted in April 2012 in Jihadi forums used for material published by al-Qai’da in East Africa (AQEA)–a group with long ties to al-Shabaab.
The publication reflects al-Shabaab and their affiliates’ continuing efforts to expand its base of support among the large population of Swahili- and English-speaking population in Kenya, as well as those in Tanzania and Uganda.
Issue #1: “Operaton Linda Uislamu”
The first issue was entitled “Operation Linda Uislamu”—meaning “Operation Protect Muslims”—and included stories of revered Jihadis, described operations to rout al-Shabaab as a battle against Muslims in Somalia, and encouraged sympathizers to carry out attacks in Kenya. [Download full version of Gaidi Mtaani – Issue #1]
Authors in Issue #1 asserted that foreign forces are invading Somalia in order to accomplish objectives detrimental to Muslims and urges young Kenyan Muslims to join al-Qai`da in East Africa (AQEA) or al-Shabaab in order to fight “opponents” of Islam in Kenya and Somalia.
It also issued specific threats to vulnerable areas in Kenya—including tourism areas, shopping malls, and bars:
“Imagine who is to lose when we start attacking Kenya’s economy, look at how vulnerable Kenya is… we have tourists, shopping malls, bars etc…just imagine how we can compromise your economy, kill one ‘muzungu’ [foreigner] and they all run away… just imagine!”
The issue ends with a quote indicating that force is now the only tool available to be heard by its enemy, stating:
“If our words could have reached you by mouth, then they would not have been sent by grenades.”
Some of this propaganda may have played a role in inciting recent attacks from sympathizers and supporters of the group, who have been blamed in several attacks in the Kenyan capital Nairobi and the northeastern town of Garissa in recent months.
Issue #2: “The Long Road to Kismayo”
The second issue of Gaidi Mtaani—entitled “The Long Road to Kismayo”—was released on 1 July 2012 on various Jihadi forums. It covers the many of the same topics as the first issue. At 28 pages, it is almost twice as long as the first issue. [Download full version of Gaidi Mtaani – Issue #2]
But while the first issue encouraged guerrilla attacks on Kenyan civilian sites, the second issue focuses on what the authors characterize as efforts of the Kenyan Defense Forces (KDF) and the U.S. “to oppress Muslims in their own lands.”
Life through al-Shabaab’s Eyes
A Swahili article entitled “Life Under the Stability of Islam” states that life in Somali has improved in areas under control of al-Shabaab because the group has outlawed Sufi traditions (which most Somalis observe) and “depoliticized” clan issues. (Ironic, given al-Shabaab’s widely noted manipulation of clan dynamics to attract support.)
Al-Shabaab commonly claims in its propaganda that it can administer areas with less corruption and more security in comparison to Somalia’s hapless Transitional Federal Government (TFG)–a sentiment shared by a substantial number of Somalis.
Al-Shabaab’s Center of Gravity: Kismayo or Ideology?
The main English article in the issue describes the KDF as inexperienced and unprepared for its prospective operation to oust al-Shabaab from its economic hub in Kismayo. It cites skirmishes in which al-Shabaab reportedly carried out successful attacks against the KDF in the Lower Juba region as an example of the group’s resilience and capacity to fight a large army funded by American trainers.
The article also states that while Kismayo represents the economic center of gravity (CoG) for al-Shabaab, the group’s ideological strength is the main CoG for the group, stating:
“ [It] cannot be diminished or crushed by the material superiority of the enemy.”
Lastly, the issue observes Kenyan and American counter-messaging efforts as “failing” and “fabricated”—citing retractions of false statements from the Twitter account of KDF spokesman Major E Chirchir (@MajorEChirChir) as evidence.
The Takeaway
Because the articles focus on what the authors characterize as the weakness of the KDF and the resilience of al-Shabaab, it is likely the publication is meant to reassure online audiences that the group will remain strong—whether it retains control of Kismayo or not—as a result of its “superior” tactics and “resonant” ideology in Somalia.
Despite its claims, al-Shabaab’s reputation continues to take a hit due to ongoing abuses of civilians, and contrastingly, the satisfaction and tangible economic improvement in communities liberated from al-Shabaab rule.
Within Somalia, al-Shabaab is recruiting new support from exploiting clan rivalries and to some extent capitalizing from regular abuses by the TFG and other clan militias such as the ASWJ. But the rising number of defections show that the group’s ideology is losing resonance, and its radical actions are causing many members to leave the group.
However, as long as self-interested warlords, corrupt government officials, and foreign forces such as Ethiopia wield power–often with Western support–a ripe environment will remain for Islamist movements to flourish in the country.
By disseminating propaganda like Gaidi Mtaani on social media and Jihadi forums, al-Shabaab will exploit opportunities to highlight the abuses of Muslims in the region by Kenya, Ethiopia, and other TFG allies to justify its cause.
Categories: al-Shabaab Media, Kenya, Kismayo
Reblogged this on somalijournalist.
wish one day al be able to fight for my country…lvd it good job.
MADHALIMU NI MARAFIKI WAO KWA WAO
MYC WAMUUNGA MKONO GODANE NA KUJISAHAU KUWA NYINYI MMEZUNGUKWA NA MAKAFIRI NA KUFANYA MAMBO AMBAYO HAYANA DALILI KUTOKA KWA M/MUNGU AMBAO MTUME MUHAMMAD(S.A.W) ALIAMRISHWA KUTEKELEZA.
Katika mambo ambayo tuna ushahidi na shahidi yetu sisi ni m/mungu,ni ktk Muhajirini ambao waliingia kutoka sehemu mbalimbali kutoka Afrika kuja na familia zao nchini Somalia wakakataa,tulipowadai dalili ya m/mungu wakawa hawana,baadhi ya watu walirudi makwao.
Jambo lingine hili la wazi ni kushikamana ktk amri waliyoamrishwa na m/mungu wala wasigombane Qur(3:103),tafsiri ya aya hiyo inaeleza maana halisi ktk Qur(13:21)-ambao huyaunga aliyoamuru m/mungu yaungwe-ndio maana ya itiswamu.
Sasa kwa kukosa dalili ya kuwapa wale waliotaka kuhama na familia zao nchini Somalia,wakakosa wao walikuwa hawana dalili ya kuzuia watu na kuhamia Somalia na familia zao,ni wachache waliwakubalia na wengi wao waliwakatalia.
M/mungu amesema ndani ya Qur(58:11)-Enyi mlioamini mnapoambiwa wafanyieni wasaa wenzenu ktk kukaa,wafanyieni nafasi na m/mungu atakufanyieni nafasi,kwa hiyo ni wazi kwamba wamepinga amri ya m/mungu ya kuwapa wenzao nafasi,jingine kiongozi kama huyo hata angekuwa mtume,m/mungu anasema ktk Qur(4:64)-mtume yoyote atiiwe kwa amri ya m/mungu, na ni wazi kwamba m/mungu anasema ktk Qur(3:161)-wala haiwezekani kwa nabii kufanya khiyana,na atakayefanya khiyana ,atavileta siku ya kiyama alivyovifanyia khiyana,kisha kila mtu atalipwa kwa aliyoyachuma,wala hawatadhulumiwa.
M/mungu peke yake ndio mwenye kufanya analolitaka haulizwi lakini sisi tutaulizwa,anasema haya ktk Qur(21:23), jambo lingine ambalo ni baya zaidi ni kuwa ktk Qur(4:94)-m/mungu anawatahadharisha wale walioamini kwamba wanaposafiri ktk njia ya m/mungu basi wasifanye jambo lolote ila kwa ithibati,cha kushangaza ikiwa m/mungu ni shahidi anasema kwa kuuliza swali ktk Qur(4:75)-Na mna nini hampigani ktk njia ya m/mungu na wale waliodhaifu-ktk wanaume,wanawake na watoto ambao husema “Mola wetu! Tutoe ktk mji huu ambao watu wake ni madhalimu,na tujaalie tuwe na wa kutunusuru anayetoka kwako.”
Haya mambo mawili ni mambo ya msingi ambayo mtu anapimwa,mpaka kuwatoa watu Kismayu.
Amri ya kwanza kule kufanya jambo kwa dalili(ithibati) wanachokifanya maelekezo yanatoka kwa m/mungu,jambo la pili mmeulizwa mna nini msipigane ktk njia ya m/mungu na wale ambao ndani yake kuna watoto,wanawake wanaomba dua waje watu kuwaondoa makafiri,mpaka leo hamjafanya lolote,ndio sababu ya kugawanyika baina ya Al-Amriki,Al-Afghan kwa kutomtii kiongozi ambaye anapinga amri za m/mungu na ni haki yao kutomtii kiongozi huyu GODANE,m/mungu akatoa amri akasema ktk Qur(8:57)-basi ukiwakuta vitani uwakimbize walio nyuma ili wapate kufahamu.
Haya ni ktk baadhi ya mambo ambayo amri ya m/mungu zimepingwa na kama ni dalili ya kwamba warudi nyuma kisha waende tena,leo ni muda mrefu tangu wale makafiri wa Kenya waingie Kismayu,kwa ujumla ni amri nyingi zimepingwa na kiongozi huyu,kwa hivyo wale wafuasi wengine walikuwa na haki ya kutomtii kiongozi huyo kwa maelekezo ya m/mungu na kama amri ya kurudi nyuma kisha kujipanga kwa muda mfupi na kurudi ndio m/mungu alivyoamrisha
M/mungu aliwataka nyinyi MYC –kama mnavyodai kundi mbili kuna tofauti,kundi lenye amri na lingine halitaki kumtii Amir,haki yenu si kutoa maneno yasiyo ya kisheria ktk mitandao kujibishana na wanajitihada Al-Amriki na Al-Afghan,bali m/mungu amewataka ktk Qur(33:20) na ktk Qur(4:108)-nyinyi mnamstahi watu kuliko m/mungu na pia m/mungu anasema ktk Qur(58:7)-ktk kila mnon”gono hata muwe wangapi m/mungu anakuwepo.
Mkaacha kufanya jambo la msingi m/mungu aliloamrisha,wajibu wenu sio kutoa maneno machafu ktk kama alivyosema m/mungu Qur(5:3)-Leo nimekukamilishieni dini yenu na kukutimizieni neema yangu na nimekupendeleeni Uislamu uwe dini yenu,-mkaacha jambo la msingi la Uislamu la neema,jinsi gani m/mungu alivyokamilisha neema yake ktk Qur(49:8-10)-m/mungu ameweka utaratibu usikilize pande mbili,moja likikataa lipigwe mpaka lirudi,sio kutoa maneno.
Sasa mkaacha mambo m/mungu amerudia na akasisitiza aliposema ktk Qur(4:105)-Hakika tumekuteremshia kitabu hali ya kuwa kimeshikamana na haki ili upate kuhukumu baina ya watu kama alivyokufahamisha m/mungu,wala usiwe mwenye kuwatetea wale wafanyao khiyana-mkaanza kutoleana maneno ambayo m/mungu ameyakataza.
M/mungu akatoa onyo ktk Qur(3:105)-Wala msiwe kama wale waliofarikiana na kukhitilafiana baada ya kuwafikia dalili zilizo wazi,na m/mungu akasema ktk Qur(3:188)-mkaacha kusema maneno ya kisheria na mkaacha kupatanisha watu,yote yale aliyoamrisha m/mungu mkayaacha na mkataka kusifiwa kwa mambo ambayo hamjayafanya mkadhani mtasalimika na adhabu.
Hizi ni aya za m/mungu tunakusomea kwa haki.Na m/mungu hataki kuwadhulumu walimwengu Qur(3:108),m/mungu anasema ktk Qur(41:52)-mnaonaje ikiwa yametoka kwa m/mungu ,kisha nyinyi mkayakanusha,ni nani aliyepotea zaidi kuliko yule aliye ktk upinzani wa mbali.
M/mungu anasema ktk Qur(39:36-37)-Je! m/mungu hamkifii mja wake? Na wanakuogofisha wale walio kinyume chake,na aliyehukumiwa na m/mungu kupotea,basi hana wa kumuongoa, na –ambaye m/mungu anamuongoa hakuna awezaye kumpoteza,je!m/mungu si mwenye nguvu,anayeweza kulipa kisasi?
Kama Godane ameweza kufanya vitendo vya mauaji ya Muhajirina,je m/mungu hamwezi kumlipizia kisasi?,angalieni mlivyozungukwa na makafiri,hamkuzihishimu aya zake,m/mungu aliposema ktk Qur(32:22)-Ni nani dhalimu mkubwa kuliko yule anayekumbushwa kwa aya za mola wake kisha akazikataa? Hakika sisi ni wenye kuchukua kisasi kwa wale wabaya.
Nyinyi ni kundi la shetani,mnakataa aya za m/mungu,dhalimu rafiki yake ni dhalimu kwa kumuunga mkono Godane aliyepinga aya za m/mungu,sasa mmeshazungukwa na makafiri,angalia jinsi m/mungu atakavyolipa kisasi anauliza swali ktk Qur(6:65)-yeye ndiye mwezaji wa kukuleteeni adhabu kutoka juu yenu au kutoka chini ya miguu yenu au kukuvurugenivurugeni makundi na kuwaonjesha baadhi yenu jeuri ya wenzao na-kukuleteeni watu wetu wenye mapigano makali nao wataingia mijini mwenu kila upande Qur(17:5).
Haya na nyinyi watu wa Mombasa mlivyoingiliwa nyumba hadi nyumba kushikwa,kudhalilishwa na mpaka kuuliwa na makafiri kwa masheikh wenu,bado hamjaona ni adhabu ya m/mungu,huko ni kwa sababu maamuzi(hukumu) ya jitihada zenu hazitoki kwa m/mungu na kitabu chake(Quran),mnachanganya maono,mawazo na akili zenu,huko ni kumshirikisha m/mungu,m/mungu hawaongozi njia watu wa aina hii.
Mcheni mola wenu rudini kwenye hukumu(maamuzi) za m/mungu na miongozo yake aliyoitoa kwa mitume yake ndani Quran pekee.
Assalamu aleiykum warahmatullahi wabarakatu,
UJUMBE KWA AMIR GODANE KWA VITENDO ALIVYOWAFANYIA MUHAJIRINI NCHINI SOMALIA
Qur(27:59)-Sema: Sifa njema ni za M/mungu na salama iwaendee waja wake aliyowachagua,je m/mungu ni bora au wale wanaowashirikisha?
Qur(42;13)-Hapa m/mungu anasema kwamba ametupa Sheria ileile waliyopewa mitume waliopita lengo dini isimamishwe-sheria ni moja.
Sheria hiyo inasema-wala msiue nafsi ambayo m/mungu aliyoikataza isipokuwa kwa haki,basi sheria inasema mwenye kuuawa kwa dhuluma tutampa nguvu mrithi wake Qur(17:33).
Qur(5:32)-Vile vile m/mungu anatuambia pia ktk sheria hiyo kama walivyopewa wana wa Israel kwamba atakayeua mtu au amefanya ufisadi huyu anafaa kuuliwa na ukiua mtu bila ya kufanya hayo ni kama ameua watu wa ulimwengu mzima.
Kwa hiyo basi m/mungu anatuambia ktk Qur(4:93)-Na mwenye kumuua muumini,basi malipo yake ni jahannam atapata laana na adhabu nzito jahannam,m/mungu anaapa ktk Qur(38:1)-kuwa Quran ni ukumbusho-hukumu na atakayejiepusha na hukumu ya Quran atapata maisha yenye dhiki duniani Qur(20:124),kitakacho tokea ktk Qur(25:68-69)-Wale ambao wanawaomba kinyume na m/mungu alichowapangia,wala hawaui nafsi ila kwa haki,wala hawazini,atakayefanya hayo atapata madhara,atamzidishia adhabu siku ya kiyama atakaa milele.
M/mungu anauliza ktk Qur(47:14)-Je! Watu wenye kuwa na dalili zitokazo kwa mola wao watakuwa sawa na watu waliopambiwa ubaya wa vitendo vyao na wakafuata matamanio ya nafsi zao?-sio sawa kwa sababu m/mungu anajibu ktk Qur(32:18)-hawawi sawa muumini na fasiki kwa hiyo Qur(9:24)-m/mungu hawaongozi watu mafasiki,na kama hao mafasiki wanajitetea m/mungu anawauliza ktk Qur(68:36-37)-mumekuwaje mnahukumu namna gani? –Au mnacho kitabu mnachokisoma,–hivyo mnavyo hukumu mkaua mnacho kitabu au mnacho kitabu mlicho kisoma kiliwafundisha hivyo,basi Qur(6:105)-Na namna tumekariri aya kwamba wanasema unasoma,ili wapate kubainikiwa watu wanaotaka kujua-hao watu wanaotaka kujua,wanataka kujua kwa kupewa dalili za m/mungu ndani ya Qur-an-Qur(47:14)- Je! Watu wenye kuwa na dalili zitokazo kwa mola wao watakuwa sawa na watu waliopambiwa ubaya wa vitendo vyao na wakafuata matamanio ya nafsi zao?
M/mungu anasema ktk Qur(10:32)-Ni nini tena baada ya haki ila ni upotofu na Qur(39:36)-na atakaye muacha m/mungu kupotea hakuna tena wa kumuongoa,Qur(10:35)-sema je,yupo ktk hao mnaomshirikisha m/mungu waongozao kwa haki(swali kwa watiifu wa Godane),m/mungu anasema Qur(27:59)-yuko mbali na wale wanaomshirikisha nae-sifa ya malik-Qur(114:2)-yeye ndiye Malik nnasi,yeyote atakayepangiwa na asiyekuwa m/mungu hakuumba chochote,yeye ni maiti wala hajui lini atafufuliwa-kwa sababu imetoa hukumu ktk Qur(68:8)-wala msiwatii anayekadhibisha-sababu anayekatazwa kumtii anayekadhibisha na Qur(5:10)-wanaokataa na kukadhibisha aya zetu hao ni watu wa motoni-sababu nyingine anayekatazwa kumtii mkadhibishaji kama huyu rejea;Qur(47:14).
M/mungu anasema ktk Qur(3:79)- Haiwi kwa mtu ambaye m/mungu amempa kitabu na unabii,kisha awaambie watu wamuabudu kuweni fanyeni yale anayotaka m/mungu kwa sababu wana kitabu wanachokisoma Qur(4:64)-Hakuleta mtume atiiwe ila kwa idhini ya m/mungu.
Swali? –kwa wafuasi wa Godane;,-Nyinyi mmepata dalili zipi za kuua watu wasio na hatia na rejea Qur(17:33) na Qur(5:32),sasa nyinyi mmepata ruhusa ya nani ya kufanya kitendo hicho cha kuua,-m/mungu anauliza ktk Qur(3:138)-Usidhani wale wanataka wasifiwe kwa yale wanayoyafanya na wanayotaka kufanya usidhani hawa watasalimika na adhabu(kusifiwa kwamba Mujahid mujahid)
Baada ya Al-Amriki kutoa taarifa kwa uongozi wa juu,lakini kabla ya hivyo tusikilize utetezi wa m/mungu,anasema-sheria ile aliyopewa Musa na mtume Muhammad ni ya aina moja ktk kule kujitetea Qur(17:2)-Tulimpa Musa kitabu na ni sheria ileile aliyopewa Muhammad ktk jambo la kujitetea,msifanye mtetezi badala yangu(Sifa ya Wakil)-ni ya m/mungu.
Katika hayo yote yaliyoelezwa huko juu-m/mungu hataki kushirikishwa na akatuletea sheria ya kukataza kuua Qur(17:33)/Qur(5:32),sasa vipi mlipata wapi kumtii fasiki bila idhini ya m/mungu?m/mungu anasema ktk Qur(7:145)-Tuliweka mawaidha ya kila kitu,basi akaawaambia yashike na watu wako wayashike karibuni hivi tunakuonyesha mji wa watu mafasiki,-wakasema wale watu ktk Qur(5:24-25)-sisi hatutaingia humo kamwe madhali hao wamo nenda kapigane na mola wako nasi tutakaa hapa,-nabii Musa akasema,ewe mola wangu similiki ila nafsi yangu na ndugu yangu,niepushe na watu mafasiki.
Swali; Je!Al-Amriki na wenzake wamekataa kukomboa miji,ndio sababu wamepinga amri ya m/mungu-Au-wamekataa kumtii Amir Godane,kwa sababu wametoka ktk mji-Kisimayu bila uongozi wa M/mungu,wakati m/mungu amekataza ulegevu ktk Qur(47:35)-Basi msilegeee na kutaka salama,maana nyinyi ndio mtakaoshinda,kwa hali hiyo m/mungu anatoa hukumu ktk Q(47:14)- Je! Watu wenye kuwa na dalili zitokazo kwa mola wao watakuwa sawa na watu waliopambiwa ubaya wa vitendo vyao na wakafuata matamanio ya nafsi zao? Kwa hiyo m/mungu atafanyaje?-Qur(3:151)-Tutatia hofu ktk nyoyo za wale waliokufuru,kwa sababu ya kumshirikisha kwao m/mungu na ambao hakuteremsha dalili,na makazi yao yatakuwa motoni,na mabaya yalioje maskani ya madhalimu,masharti m/mungu anatoa ktk Qur(2:38)-Basi watakaofuata uwongofu wangu huo haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.
Mmekuaje mmelegea,wakati mmeamrishwa msilegee na kutoka Kismayu,na ni wazi ni walegevu-kwani Muhammad na wafuasi wake hawakuwa hivyo ktk Qur(48:29)-Muhammad na wafuasi wake walikuwa wenye nyoyo thabiti-wakali mbele ya makafiri na wanahurumiana wao kwa wao,-mmekuaje mkalegea kwa makafiri wa jeshi la Kenya na mkawa wakali kwa Al-Amriki,Maalim Burhani,Ibrahim Al-Afghan,kisha ulegevu wenu ukazidi kwa makafiri wa jeshi la Kenya mpaka ndugu zenu wakanajisiwa,kuporwa mali zao,kunyanyaswa na mkanadi mkifanya uharibifu Kismayu mtalipa kisasi kwa raia wasiohusika kwa raia wa Kenya,kwani jambo hilo la kisasi cha namna hiyo ni kosa,rejea Qur(2:204)-Kuna watu kauli zao zinafurahisha…,lakini m/mungu anashuhudia ndani ya nyoyo zenu kwamba ni wagomvi kabisa(ugomvi huo ni huu unathibitishwa) Qur(2:205)-Wanaondoka huku ktk ardhi kufanya uharibifu.
=Sababu gani M/mungu amewaita waharibifu-mnashindwa kuwaona wale wanaofanya uharibifu mji wa Kismayu na kwenda kupiga watu wasio na hatia Kenya-wakati m/mungu aliowatia hatia ni hawa ktk Qur(60:8)-M/mungu hakukukatazeni kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakupigana na nyinyi kwa ajili ya dini yenu,wala hawakutoeni ktk ardhi(nchi) zenu,hakika m/mungu anawapenda wale wafanyao uadilifu.
Uadilifu ni kule kuwapiga wale walio Kismayu(makafiri wa Kenya) sio wale walio kwenye maduka-Nairobi.kataa
Uadilifu wenyewe ni huu ktk Qur(98:5)-wala hamkuamrishwa ila kumtumikia m/mungu kwa kufuata amri zake na kumtakasia dini-AMRI-ktk Qur(22:39)-mmeamrishwa kupigana na wale ambao wanaowapiga watu kwa sababu ya kuwadhulumu.
Uadilifu ni kupigana na wale wanaokupigeni na wanaokutoenj nyinyi kutoka ktk miji wala sio wale ambao wasiokupigeni na kutokutoeni nyinyi ktk miji rejea Qur(60:8)-wakati m/mungu anaeleza hivi-ktk Qur(57:25)-ametuma mitume pamoja nao kuna dalili zilizo wazi ili watu wasimamishe uadilifu,ambapo mtume ktk Qur(98:2-3)-mtume aliyetoka kwa m/mungu anayewasomea kurasa zenye kutakaswa,ndani yake zimo sharia madhubuti,na pia m/mungu amesema(mfano) ktk Qur(17:86)-Na kama m/mungu(watu wasifanye uadilifu) angeliondoa haya aliyomfunulia Muhammad,bila shaka msingelipata la kujitetea.
Kwa nini mmelegea mkaenda kupigana na watu ambao hawakushika silaha,mtume wenu ni yupi? Qur(23:69)-Au hamkumjua mtume wao ndio mkamkanusha-mkawapiga ndugu zenu(wakina Al-Amriki) wakati mlitakiwa mhurumiane mkawaacha makafiri wanashika silaha wanaokupigeni na kukutoeni ktk miji-Qur(3:108)-Hizi ni aya za m/mungu tunakusomeeni kwa ukweli,na m/mungu hataki kudhulumu walimwengu.
Hukumu yao.ktk Qur(3:86-88)-M/mungu atawaongozaje(baada ya kuyakataa hayo mlioelekezwa huko juu na aya tofauti) baada ya kuyaamini mkakataa na mkashuhudia mtume wenu ni wa haki na zikakufikieni hoja zilizo wazi,basi m/mungu haongozi watu madhalimu,malipo yao ni laana ipo juu yao ya m/mungu,malaika na ya watu wote(mpaka hao waliowaua) Qur(3:88)-humo watakaa milele(moto) hawatapunguziwa adhabu wala nafasi.
Swali sasa mnasemaje kama mlikaa shura na mkafahamishana utaratibu anaotaka m/mungu,kisha mkarudi mkapinga Qur(32:22)-ni nani dhalimu mkubwa kuliko yule anayekumbushwa kwa aya za mola wake kisha akakataa,hakika sisi ni wenye kuchukua kisasi-kwani mlikaa shura na mkatoa maamuzi na hayo maamuzi hamkukubaliana nayo mkarudi mkapinga kama nyinyi si madhalimu.
Ni wazi m/mungu amejitoa,akasema; ktk Qur(16:104)-Wale wasioamini aya,hakika m/mungu hawaongozi-mtamzulia m/mungu uwongo kwa sababu hamuamini aya za m/mungu na hawa ni waongo.
=Kwa hivyo mjielewe na walimwengu waelewe kwamba nyinyi ni waongo. Qur(41:52)-Sema mnaonaje ikiwa(aya ni maneno) yametoka kwa m/mungu kisha nyinyi mnakanusha,ni nani aliyekuwa mpinzani(mbali) asiyeweza kushindana na m/mungu kama si nyinyi
Mcheni mola wenu rudini kwenye hukumu(maamuzi) za m/mungu na miongozo yake aliyoitoa kwa mitume yake ndani Quran pekee.
Assalamu aleiykum warahmatullahi wabarakatu,